Mwanadada Hamisa Mobeto akiwa amevaa kijinguo hicho.
Wadada mnstskies kuonesha utashi wenu wa mavazi yasiyowaelekezea watu wengine kuwafikiria vibaya hadi kupelekea kushusha thamani zenu. Licha ya viwanda kutoa vijinguo hivyo basi mnatakiwa kujiongeza basi kwa kutumia akili zenu kuepuka aibu hi kwani licha ya Mungu wenu kuwa kipofu kama wengi wanavyosema lakini hawafundishi kufanya matusi hayo licha ya kuwa na haki ya kujichagulia maisha unayoyataka.
Kwa shape nzuri kama hizi ambazo kama kweli umejaaliwa ni vyema atakayekumiliki kama ayaone matunda hayo ya kazi ya Mola.
Hatari kama hizi ukawatembezea wenye ukwasi wao waweza jilaumu binti wa watu. Mtandao huu haushabihiani na matendo haya ya umomonyofu wa maadili. Tunaomba iwe funzo kwa wengine pia.






