Featured
Loading...

MJUE ALIYEMTAJA DIAMOND KUWA ANAWEZA KUWA MBADALA WAKE

BOFYA VIDEO HAPO CHINI UONE MAMBO LIVE


Kuna mtu mmoja muhimu kwenye muziki aliwahi kunipigia simu na kuniuliza swali hili.. Hivi kama Diamond Platnumz bahati mbaya Mungu akimchukua, ni msanii gani mwingine wa Tanzania anayeweza kufanya anachokifanya yeye kwa sasa na jinsi anavyoitangaza Tanzania?’ Sikumbuki nilimpa jibu gani.. lakini Diamond Platnumz anaweza kuwa na jibu zuri kwa mtu huyu.

“Moja ya watu ambao naamini hata NIKIFA kesho, Roho yangu itakuwa na amani ya kuamini kwamba kuna mtu ambae anaipeperusha vyema bendera ya Nchi yangu kupitia muziki… you jus call him @ommydimpoz ila wacha mi nimuite Kibonde,” Diamond ameandika kwenye Instagram kwenye picha ya Ommy akiwa amesimama pembeni ya gari la kifahari aina ya Lamborghini wakati akishoot video ya wimbo wake mpya na muongozaji maarufu wa video Afrika, Moe Musa.
CREDIT : BONGO5

Ungana nami Sasa Upate Habari Moto Moto za Moja kwa moja Kwako
Bofya HAPA SASA U Like PAGE!

Share na Marafiki Post HiiPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Karibu tena
Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Mahaba Live
Back To Top