Featured
Loading...

WAREMBO WAKALI: HAKUNA AJUAYE NINI KITATOKEA MISS TABORA 2014.

BOFYA VIDEO HAPO CHINI UONE MAMBO LIVE


Bila kukosa show hii itakayofanyika tarehe 02 may, 2014 ndani ya ukumbi wa Teofilo Kisanji kuanzia saa 2 usiku kwa kiingilio cha sh 10,000/= kawaida na 20,000/= kwa V.I.P huku burudani za kutosha kutoka kwa warembo wenyewe na kalizwa na wasanii akiwemo Amini wa "November or December" na nyinginezo, Nemo wa "My Number One" SirMoe wa Freemason na nyingineza kama huu mwaka, knok out n.k.
** USIKOSE **
MISS PAULINE
MISS ELIZA
MISS MWASY
MISS ZENNA
MISS LENCER
MISS SALOME
Mwl wa warembo, (Miss Sarah mshindi wa shindano hili la Redds 2012)
MISS LILIAN
MISS FATUMA

Ungana nami Sasa Upate Habari Moto Moto za Moja kwa moja Kwako
Bofya HAPA SASA U Like PAGE!

Share na Marafiki Post HiiPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Karibu tena
Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Mahaba Live
Back To Top