Jamaa ni mwalimu wa sayansi katika shule za sekondari. Imekuwa vigumu kwa watu wengi kuendeleza vipaji vyao hasa vya kimuziki huku wakiupa uzito hasa wakiangalia haiba yao na mitazamo ya jamii dhidi ya mtu anayefanya mziki.
Pata muda wa kupakua na kuusikiliza wimbo huu unaoitwa ALFA LELA ULELA wa msanii huyu MASHAHILI.







