Featured
Loading...

Breaking: Geez Mabovu afariki dunia

BOFYA VIDEO HAPO CHINI UONE MAMBO LIVE


Geez Mabovu

Taarifa zilizotufikia hivi punde zimedai kuwa rapper Geez Mabovu amefariki dunia leo mjini Iringa.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Iringa, Geez amefariki jioni hii. Alienda kwao wiki moja na nusu iliyopita ambako alianza kuugua mfululizo. Taarifa zaidi zinakuja.

December 27 mwaka jana, hitmaker huyo wa Mtoto wa Kiume alizidiwa ghafla kabla ya show iliyokuwa ifanyike mjini Iringa kwenye ukumbi wa Twista Night Club alikokuwa atumbuiza na rappers wengine wakiwemo Wakazi, Songa, Jan B na Chidi Benz.
Source: Bongo5

Pia mtandao wa matukiodaima.co.tz uliandika;
"Mwanamuziki wa kizazi kipya Ahmed Ally Upete a.k.a G mabovu amefariki majira ya saa mbili usiku Iringa. Leo tarehe 12/11/14
Source baba yake mdogo. Abbas Upete"
Geez Mabovu
Geez Mabovu enzi za uhai wake
Geez Mabovu
Geez Mabovu aliyevua shati
R.I.P

Ungana nami Sasa Upate Habari Moto Moto za Moja kwa moja Kwako
Bofya HAPA SASA U Like PAGE!

Share na Marafiki Post HiiPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Karibu tena
Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Mahaba Live
Back To Top