Featured
Loading...

DIAMOND PLATNUMZ ALIVYONOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV

BOFYA VIDEO HAPO CHINI UONE MAMBO LIVE



Prezida wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza show wake Roma Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton Hotel ya Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na mashabiki wake kutoka kila pembe ya Marekani huku mashabiki wengine wakitokea Tanzania,


Mzuka unazidi kupanda Diamond Platnumz asaula koti lake.

Balozi akimshukuru Diamond kwa kuwezesha kunogesha usiku wa Uhuru wa Tanzania Bara na pia aliwashukuru wadhamini wa sherehe hiyo ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

Diamond akizidi kuwapa burudani mashabiki wake

Shabiki akicheza wimbo wa mdogo mdogo

Shabiki akijumuika na Diamond kwenye jukwaa.

Shabiki akipagawa akitaka kumgusa Diamond.

Mvua ya noti ikimnyeshea Diamond























































































 

Ungana nami Sasa Upate Habari Moto Moto za Moja kwa moja Kwako
Bofya HAPA SASA U Like PAGE!

Share na Marafiki Post HiiPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Karibu tena
Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Mahaba Live
Back To Top