Featured
Loading...

AMBER ROSE ATAKA KUMRUDIA WIZ KHALIFA

BOFYA VIDEO HAPO CHINI UONE MAMBO LIVE


Mastar hawa Amber Rose and Wiz Khalifa walivuma sana wakati wa mapenzi yao na baada ya kuachana pia. Hivi siku chache zilizopita katika mtandao wa kijamii wa Instagram Amber ameonesha wazi kutaka kumrudia mkubwa Wiz. .... unafikiri itakuwaje wakirudiana...? Lol..!

Wiz na Amber wakibusiana; Yawezekana kaya-miss sana haya. Lakini licha ya hayo yote Wiz hajajibu lolote juu ya hili.
Mchongo ulikuwa hivi.... Amber Rose alionekana kuyapenda maisha ya peke yake, lakini ilitoke hivi majuzi alipost sicha ya mvuto wa tabasamu lake kali instagram na kuandika "Miami Bound*" Picha hiyo hapo chini.....
A photo posted by Amber Rose (@amberrose) on
Kama hajaeleweka hivi, sasa story ikaja pale moja ya mfuasi wake alipoipost tena picha ile na baadhi ya maoni ya mashabiki walipendekeza arudiane na Wiz na hicho chini ndicho alichojibu Amber
A photo posted by The Shade Room (@theshaderoominc) on

Ungana nami Sasa Upate Habari Moto Moto za Moja kwa moja Kwako
Bofya HAPA SASA U Like PAGE!

Share na Marafiki Post HiiPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Karibu tena
Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Mahaba Live
Back To Top