Bw. Maiko (Michael [ Maarufu kama Mhaya]) anayekadiriwa kuwa na miaka zaidi ya 30 na mkazi wa Kiloleni-Tabora aliyekuwa muuzaji wa vifaa vya pikipiki stendi ya zamani ya mabasi mjini Tabora aliuawa jana 20/03/2014 na watu wasiofaha mida ya jioni akiwa mizungukoni maeneo ya Kanyenye.
Inadaiwa marehemu aliuawa kwa kupigwa/ kupondwa na jiwe kifuani na maeneo ya kichani hadi kupelekea kutawanya ubongo wake, wavamizi au majambazi hayo yalikuwa na bunduki lakini inasemekana haikutumika na hawakuchukua kitu chochote zaidi ya kumdhuru marehemu huyo.
Watu hao hawajafanikiwa kufahamika kwani walitokomea tu mara baada ya kumdhuru marehemu.
Kwa habari zaidi endelea kutembelea mtandao wetu
FUNGUA TU KAMA NI JASIRI NA UNA ZAIDI YA MIAKA 18. INATISHA.






