Featured
Loading...

BREAKING NEWS::: MAUAJI YATOKEA MJINI TABORA

BOFYA VIDEO HAPO CHINI UONE MAMBO LIVE


Kwa habari za kusikitisha na kutisha zilizosambaa usiku huu mjini Tabora zinaeleza kuwa mfanya biashara maarufu Bw. Michael {Maiko} muuza spare {spea}  za pikipiki maeneo ya stendi ya zamani ya mabasi mkoani hapo amefariki jioni hii kwa kupigwa sehemu ya kichwani na watu wasio julikana!
Tutaendelea kufuatilia undani wa tukio zima kwa umakini ili kuwapa taarifa kamili ya namna mauti yalivyomkumba mpendwa wetu.
Kwa habari zaidi endelea kutembelea mtandao wetu

Ungana nami Sasa Upate Habari Moto Moto za Moja kwa moja Kwako
Bofya HAPA SASA U Like PAGE!

Share na Marafiki Post HiiPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Karibu tena
Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Mahaba Live
Back To Top