Featured
Loading...

MWILI WA ALIYEUAWA WASAFIRISHWA KWENDA BUKOBA KWA MAZISHI

BOFYA VIDEO HAPO CHINI UONE MAMBO LIVE


Mwili wa marehemu Michael Samson Rweyemamu (1981-2014) katuka jeneza kwa heshima za mwisho kwa ndugu, jamaa na marafiki waishio Tabora wakiuaga kwa safari ya kuelekea Bukoba kwa mazishi. Zoezi hili la kuuaga mwili huo lilikamilika jana na kuanza safari.
Heshima za mwisho zikitolewa.
Mwili wa marehemu ukioneshwa kwa mara ya mwisho kabla ya kuaanza safari
Baadhi ya watu waliohudhuria kuuaga mwili wa marehemu.
Mapema tutaruasha video nzima ya kuuaga mwili wa marehemu.

Ungana nami Sasa Upate Habari Moto Moto za Moja kwa moja Kwako
Bofya HAPA SASA U Like PAGE!

Share na Marafiki Post HiiPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Karibu tena
Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Mahaba Live
Back To Top