Msanii Diamond Platnumz amepanga kufanya kitu tofauti kwenye siku ya kuzaliwa ya Mama Yake mzazi ambayo itakuwa Tarehe 7/7. Kama shabiki na mpenzi wa Diamond na Kazi zake hii inakuhusu
Kusheherekea siku ya Kuzaliwa kwa Mama yangu kipenzi tareh 07/ 07 jumatatu hii, ntadondosha Video zangu Mbili kwa Pamoja....! Hakikisha unawai kusubscribe kwenye Account yangu ya Youtube ya "Diamondplatnumz" ile uwe wa kwanza Kuziona...!!
[As Iam celebrating my lovely mum'z birthday this Monday, I will also release my 2 videos at once... Make sure you are subscribed on my "DiamondPlatnumz" Youtube Chanel so that you can be the first one to Watch them....!!! ]






