Featured
Loading...

Ngoma ya Chid Benzi ft Diamond + AY "Mpaka Kuchee"

BOFYA VIDEO HAPO CHINI UONE MAMBO LIVE


Chid Benzi rapa mkali na mkali wa kuchana nchini Tanzania, baada ya ukimya wa kina sasa amekuja na kushusha bonge la single "MPAKA KUCHEE" aliyomshirikisha Diamond na AY sasa unaweza isikia na kuipata popote. Humu ndani wametisha sana
Ngoma imefanywa katika studio za Dullysykes na kupitia mikono ya Tudd Thomas na Emma The Boy.
Kwa kudownload bofya HAPA au hapo chini



Ungana nami Sasa Upate Habari Moto Moto za Moja kwa moja Kwako
Bofya HAPA SASA U Like PAGE!

Share na Marafiki Post HiiPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Karibu tena
Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright Mahaba Live
Back To Top