"Umepigania na kufanikisha kuutua mzigo wa muda mrefu na umekuw\pa hatua kubwa kwa mafanikio yako kielimu, ni jambo la kujivunia na kumshukuru Mungu.. Ni imani yangu kuwa mshikamano wa familia, ndugu na majamaa wamefanikisha wewe kufikia hapo"
Kisa amejipatia nondo yake ya Degree ya kwanza ya Elimu katika chuo kikuu cha AMUCTA (SAUT-TABORA)
Kisa na dada yake




















