Mkazi wa mkoani Njombe aliyetajwa kwa jina la mama Selemani Mbaga yu hoi baada ya kupata chanjo ya matende ,mabusha na minyoo iliyoanza tarehe 18/10/2014 , mwanamke huyo amepata madhara makubwa mwili wake wote huku katika maeneo ya makalio akiwa ameharibika vibaya kiasi cha kushindwa kukaa picha zake zinatisha sana na kimaadili tumeshindwa kuziweka hapa.
Loading...
ONA CHANJO YA MATENDE , MABUSHA NA MINYOO YALETA MADHARA NJOMBE
Ungana nami Sasa Upate Habari Moto Moto za Moja kwa moja Kwako
MAPENZI MATAMU BLOG







